Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa dini waendeleza kampeni ya amani miongoni mwa wakaazi Kilifi

  • | Citizen TV
    639 views
    Duration: 1:39
    Muungano wa viongozi wa makanisa kule Malindi na kaunti ya Kilifi umeanzisha kampeni ya amani miongoni mwa wakaazi. Viongozi hao wamewataka viongozi wa kisiasa kuacha tamaa na badala yake kuhakikisha kuwa nchi inasalia tulivu.