Skip to main content
Skip to main content

IEBC watoa onyo kali kwa wagombea viti mbalimbali katika chaguzi ndogo zilizopangiwa

  • | Citizen TV
    428 views
    Duration: 2:18
    Tume ya uchaguzi na mipaka nchini -IEBC- imetoa onyo kali kwa wagombea wa viti mbalimbali katika chaguzi ndogo zilizopangiwa kufanyika tarehe 27 mwezi huu, kuwa watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kuondolewa kwenye orodha ya wagombea iwapo watavuruga amani.