Skip to main content
Skip to main content

Mahakama kutoa uamuzi kuhusiana na mauaji ya Caroline Mokeira aliyeuwawa aliuwawa kwa njia tatanishi

  • | Citizen TV
    175 views
    Duration: 52s
    Mahakama ya Kitale inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu iwapo mume wa mwanamke aliyetoweka, Carolina Mokeira, ataachiliwa huru baada ya kushikiliwa kwa siku kumi ili kuipa polisi nafasi ya kukamilisha uchunguzi.