Skip to main content
Skip to main content

Watu 9 bado hawajulikani waliko baada ya maporomoko ya Chesongoch

  • | Citizen TV
    317 views
    Duration: 1:44
    Shughuli ya kutafuta miili ya watu tisa ambao bado hawajapatikana hadi sasa inandelea katika eneo la Chesongoch kaunti ya Elgeyo Marakwet, huku Wito ukizidi kutolewa kwa serikali na mashirika kuendelea kutoa msaada kwa waathiriwa wa mkasa wa maporomoko ya udongo.