Skip to main content
Skip to main content

Vijana wahimizwa kuepuka vitendo vinavyodhuru afya yao

  • | KBC Video
    26 views
    Duration: 1:28
    Vijana wamehimizwa kuwa makini wakati huu wa likizo ndefu ili kuepuka kukumbana na changamoto za maisha kama vile mimba za Utotoni . Akizungumza wakati wa mafunzo kuhusu afya ya uzazi katika Kanisa la Kenya Assemblies of God mjini Maralal, mkurugenzi wa shirika lisilo la serikali la Compassion, Thomas Lekililo, , pia alisisitiza jukumu muhimu la wazazi katika kuwapa mwongozo na kuwasaidia vijana kufanya maamuzi sahihi kuhusu afya yao ya uzazi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive