Skip to main content
Skip to main content

EACC yamkamata mwenyekiti wa bodi ya kudhibiti bidhaa gushi kwa madai ya ufisadi

  • | Citizen TV
    1,263 views
    Duration: 45s
    Maafisa wa tume ya kupambana na ufisadi nchini EACC wamemkamata mwenyekiti wa bodi ya halmashauri ya kudhibiti bidhaa gushi nchini Josphat Gichunge Kabeabea kwa madai ya kuhusika na visa kadhaa vya ufisadi