Skip to main content
Skip to main content

Rais atahadharisha hospitali za umma zinazowalipisha wagonjwa

  • | KBC Video
    80 views
    Duration: 3:52
    Rais William Ruto amewataka Wakenya kutoa ripoti mara moja kuhusu hospitali ambazo bado zinadai malipo licha ya wagonjwa kuwa wamesajiliwa kwenye halmashauri ya afya ya jamii SHA. Akizungumza katika eneo bunge la Kagundo, kaunti ya Machakos, rais alisema serikali imepokea taarifa kutoka kote nchini kwamba hospitali za umma zinawaagiza wagonjwa kugharamia matibabu, hatua ambayo inahujumu ajenda ya serikali ya kutoa huduma nafuu za afya. Abdiaziz Hashim na kina cha taarifa hii. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive