Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Mukuru kwa Njenga wamefaidi nyumba za serikali zinazoendelea kujengwa kote nchini

  • | Citizen TV
    366 views
    Duration: 2:59
    Ni miezi minne sasa tangu wakazi wa Mukuru kwa Njenga, Riara na Marigoini kuingia katika nyumba za serikali za new Mukuru. Wakazi hao wanaendelea kutabasamu na kufurahia maisha mapya. Huku nyumba zaidi zikiendelea kujengwa wakazi ambao walijaza stakabadhi za nyumba hizo wanaendelea kusubiri zikamilike ili wao pia wanufaike.