Skip to main content
Skip to main content

Harambee Stars kupanga mechi za kirafiki

  • | Citizen TV
    1,177 views
    Duration: 1:00
    Kocha wa timu ya taifa ya kenya harambee stars Benni Mc Carthy amesema baada ya kuwa hawana nafasi ya kufuzu kombe la dunia 2026, watajaribu kufanya kila wawezalo kuiweka timu pamoja ikiwemo mechi za kirafiki. Aliyasema hayo baada ya kuinyeshea ushelisheli mvua ya mabao matano kwa nunge siku ya jumanne uwanjani kasarani.