Skip to main content
Skip to main content

Kasisi ashtakiwa kwa madai ya kumdhulumu mtoto Bomet

  • | Citizen TV
    1,617 views
    Duration: 1:30
    Kasisi kutoka parokia ya Mugango kaunti ya Bomet kwa jina John Paul hapo jana alifikishwa katika mahakama ya Bomet kujibu mashtaka ya kumdhulumu mwanafunzi wa gredi 8 mwenye umri wa miaka 14 akiwa na mama wa kijana huyo kama mshtakiwa mwenza...