Skip to main content
Skip to main content

Watetezi wa haki Mombasa wasema magenge ya wahalifu yamechipuka

  • | Citizen TV
    436 views
    Duration: 2:01
    Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu kaunti ya Mombasa yanaitaka serikali kudhibiti hali mbaya ya usalama nchini wanayosema inaathri hata uchumi wa taifa.