Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Kamailel Baringo walalamikia ubovu wa barabara

  • | Citizen TV
    265 views
    Duration: 2:27
    Wakazi kutoka Kijiji cha Kamailel katika Kata ya Mochongoi eneo mbunge ya Baringo Kusini wameandamana wakilalamamikia ubovu wa barabara kutokana na mvua kumbwa inayonyesha eneo hilo.