- 1,728 viewsDuration: 2:38Matokeo ya uchunguzi wa maiti ya mfanyakazi wa ujenzi katika uwanja wa Talanta hapa Nairobi yalionyesha kuwa alikufa maji na pia majeraha mabaya kichwani. Sammy Kyengo, aliripotiwa kupotea mapema mwezi huu ndani ya Uwanja huo wa Talanta, kabla ya mwili wake kupatikana wiki moja baadaye.