Serikali ya Uganda yaeleza sababu ya viongozi 36 wa FDC kukamatwa Kenya
Afisa wa Uhusiano na Itifaki wa shirika la Usalama wa Nje, ESO, Uganda Paul Mugisha anasema kundi la wanachama 36 wa chama cha siasa cha FDC waliorejeshwa kutoka Kenya, lilikamatwa kisumu kwa kujihusisha na vitendo vya kutia shaka ambapo walinda usalama nchini Kenya waliiarifu Uganda kuhusu kukamatwa kwa kundi hilo kabla ya kurejeshwa.
Naye mmoja wa wanachama wa FDC Samule Makokha Mugenyi aliyekuwa huko Kenya alieleza usumbufu waliokutana nao wakati walipokuwa wakikamatwa. Naye makamu wa rais wa chama cha upinzani Uganda FDC, Salam Musumba alisema: Viongozi hao wametekwa, katika karne hii ya 21 wametekwa,
Tutawasilisha barua yetu ya malalamiko Ubalozi wa Kenya nchini Uganda, alieleza.
"Na kuwajulisha kuhusu utekaji kinyume cha sheria na wa kikatili
Utekaji wa viongozi 36 wa chama cha FDC," makamu rais alieleza.
Kwa mujibu wa uongozi wa FDC wakati wakikamatwa viongozi hao walikuwa katika Kituo cha Umma cha Uchungaji mjini Kisumu ambako walikuwa wanahudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo wa mikakati ya masuala ya siasa kwa wiki moja.
Polisi nchini Uganda walidai kwamba kundi hilo lilisafiri kati ya Julai 22 na 23 2024 kutoka maeneo mbalimbali ya Uganda hadi Kisumu, Kenya.
#uganda #kenya #kisumu #fdc #upinzani #meya #kampala #polisi #ugaidi #ibrahimssemujjunganda
22 Apr 2025
- The soldier is remembered as the "Hero of Nairobi" for saving several people during the Dusit D2 attack.
22 Apr 2025
- The government argues that there is a need to streamline grassroot leadership.
22 Apr 2025
- The announcement followed a rigorous crackdown across the country.
22 Apr 2025
- Two people have been shot dead while two other sustain gunshot injuries at Loberer, Baringo County on Monday.
22 Apr 2025
- The soldier is remembered as the "Hero of Nairobi" for saving several people during the Dusit D2 attack.
22 Apr 2025
- Police in Sotik, Bomet county have mounted a search for a middle-aged man who allegedly strangled his 38-year-old wife to death.
22 Apr 2025
- After spending more than five weeks in hospital for a bout of double pneumonia, doctors told Pope Francis he needed two months' rest - but the leader of the world's 1.4 billion Catholics kept working right to the end.
22 Apr 2025
- The government argues that there is a need to streamline grassroot leadership.
22 Apr 2025
- One of the most long-lasting impacts of Pope Francis' pontificate may be his appointment of more women than ever before to top Vatican positions.
22 Apr 2025
- The announcement followed a rigorous crackdown across the country.
22 Apr 2025
- China is expected to launch a new crewed mission into space this week, as Beijing takes steady steps towards its goal of putting astronauts on the Moon.
22 Apr 2025
- Pope Francis was admitted to a Rome hospital on February 14 with bronchitis, which later turned into double pneumonia that almost killed him twice.
22 Apr 2025
- The MP claims the subject will go a long way in shaping students for the future.