- 566 viewsMeya wa Kampala, Elias Lukwago, anaeleza janga hili limetokea kwa sababu ya wale walioweka vikwazo "tulipokuwa tunaelekea katika utekelezaji wa mapendekezo yetu ya kuwa na sera ya kugeuza takataka kuwa nishati ili tuweze kusitisha utupaji takataka katika dampo hili". Vyanzo vya habari vinaeleza dampo la takataka katika eneo hili ambalo linafahamika kama Kiteezi, ambako kwa miongo mingi limekuwa likitupwa takataka zinazo zalishwa mjini Kampala, hadi kugeuka na kuwa mlima, huku wakazi waishio karibu wakilalamika kutokana na taka zenye sumu, pamoja na uharibifu wa mazingira. Polisi wa Uganda walisema Jumapili kuwa idadi ya vifo kutokana janga la maporomoko ya takataka katika dampo hilo mjini Kampala ilifikia 21, wakati timu za uokozi zikiendelea kutafuta manusura na idadi ya miili inayopatikana ikielekea kuongezeka. - Reuters, AP, VOA Picha na Mwandishi wa VOA, Sadam Muballe, Kampala, Uganda. #uganda #kampala #takataka #dumpo #maporomoko #vifo #polisi #voa #voaswahili
Meya aeleza sababu ya kushindwa kusitisha utupaji takataka Kiteezi
- - New look, still us ››
- 22 Apr 2025 - Two people have been shot dead while two other sustain gunshot injuries at Loberer, Baringo County on Monday.
- 22 Apr 2025 - The soldier is remembered as the "Hero of Nairobi" for saving several people during the Dusit D2 attack.
- 22 Apr 2025 - Police in Sotik, Bomet county have mounted a search for a middle-aged man who allegedly strangled his 38-year-old wife to death.
- 22 Apr 2025 - After spending more than five weeks in hospital for a bout of double pneumonia, doctors told Pope Francis he needed two months' rest - but the leader of the world's 1.4 billion Catholics kept working right to the end.
- 22 Apr 2025 - The government argues that there is a need to streamline grassroot leadership.
- 22 Apr 2025 - National Treasury Cabinet Secretary John Mbadi says that Kenya will not face any external debt obligations between 2032 and 2048, attributing the current pressure on debt repayments to the fact that most loans are now reaching maturity. He gave the…
- 22 Apr 2025 - One of the most long-lasting impacts of Pope Francis' pontificate may be his appointment of more women than ever before to top Vatican positions.
- 22 Apr 2025 - The announcement followed a rigorous crackdown across the country.
- 22 Apr 2025 - China is expected to launch a new crewed mission into space this week, as Beijing takes steady steps towards its goal of putting astronauts on the Moon.
- 22 Apr 2025 - CS Ruku urges Kenyans to support Ruto's development agenda