- 228 views
Wizara ya afya imezitaka serikali za kaunti kuweka mikakati ya kuwatenga wagonjwa wa mpox kama ilivyokuwa wakati wa janga la covid-19. Katibu wa afya ya umma mary muthoni amesema kuwa serikali kuu itashirikiana na serikali z akaunti kuweka mikakati kabambe ili kukabili maambukizi ya ugonjwa huo ambao umetajwa kuwa dharura na shirika la afya duniani. Muthoni amesema kuwa wizara ya afya imefungua kituo cha dharura na vituo vingine 25 ambavyo vitasaidia kuweka uangalizi wa maambukizi zaidi.
Wizara ya Afya yataka kaunti kuweka mikakati kuzuia mchemko wa ugonjwa wa Mpox
- 26 Oct 2024 - France's National Assembly on Friday approved an amendment to the government's 2025 belt-tightening budget bill that would hit the country's wealthiest individuals with a billionaires tax.
- 26 Oct 2024 - In Uruguay's capital Montevideo and around this South American nation of 3.4 million people, voters are gearing up for Sunday's election, overshadowed by a plebiscite on pensions the same day and fears over crime.
- 26 Oct 2024 - A prolific "catfish" offender who pushed one of his victims, a 12-year-old US girl, to commit suicide was on Friday jailed for life at a court in Northern Ireland.
- 26 Oct 2024 - Clergy's redemption lies in hybrid regulation
- 26 Oct 2024 - Migori teachers reject proposals to merge KPSEA candidates in smaller institutions
- 26 Oct 2024 - Action must help diminish fossil fuel extraction
- 26 Oct 2024 - My ex-husband didn't give a coin for Sh70m property, says athlete
- 26 Oct 2024 - Savannah ups offer in fight for Bamburi with Tanzania firm
- 26 Oct 2024 - Kenya must embrace diversity to achieve real national prosperity
- 26 Oct 2024 - All systems set for Monday's final national primary assessment