- 2,508 views
Familia moja katika kijiji cha Miti Tatu eneo bunge la Kipkelion mashariki inaomboleza kifo cha jamaa yao aliyeuawa na ndovu. David Bii ambaye alikuwa mwalimu wa shule ya msingi ya Dr. Koech anadaiwa alikuwa akiwapiga picha ndovu wawili ambao walikuwa wametoka katika msitu wa Soget na kuingia katika mashamba ya wananchi. Ndovu hao wanasemekana kumgeukia na mmoja alimvyoga hadi kumuua mwalimu huyo huku mtu wa pili aliyekuwa katika eneo la tukio akijeruhiwa. Moses Mutai alipelekwa katika hospitali ya Londiani kwa matiabu. Wakaazi wanataka maafIsa wa KWS kuhakikisha ndovu hawatoki msituni na kuvamia wananchi pamoja na mimea yao. Wakati huo huo, jamaa wa mwalimu aliyeuawa wanataka walipwe fidia kufuatia mauaji yake.
Ndovu aliyehepa msituni amvyoga na kumuua mwalimu Kericho
- 26 Oct 2024 - France's National Assembly on Friday approved an amendment to the government's 2025 belt-tightening budget bill that would hit the country's wealthiest individuals with a billionaires tax.
- 26 Oct 2024 - In Uruguay's capital Montevideo and around this South American nation of 3.4 million people, voters are gearing up for Sunday's election, overshadowed by a plebiscite on pensions the same day and fears over crime.
- 26 Oct 2024 - A prolific "catfish" offender who pushed one of his victims, a 12-year-old US girl, to commit suicide was on Friday jailed for life at a court in Northern Ireland.
- 26 Oct 2024 - Clergy's redemption lies in hybrid regulation
- 26 Oct 2024 - Migori teachers reject proposals to merge KPSEA candidates in smaller institutions
- 26 Oct 2024 - Action must help diminish fossil fuel extraction
- 26 Oct 2024 - My ex-husband didn't give a coin for Sh70m property, says athlete
- 26 Oct 2024 - Savannah ups offer in fight for Bamburi with Tanzania firm
- 26 Oct 2024 - Kenya must embrace diversity to achieve real national prosperity
- 26 Oct 2024 - All systems set for Monday's final national primary assessment