- 1,676 views
Mzozo unatokota kati ya Jamii ya Turkana wanaoishi kwenye visima vya mafuta,kampuni ya uchimbaji mafuta Tullow na serikali ya kaunti ya Turkana. Hii ni baada ya kampuni ya Tullow kuilipa kaunti ya Turkana shilingi milioni mia mbili hamsini na nane mwezi uliopita. Hata hivyo, kaunti ya Turkana inasema kuwa pesa ilizolipwa ni deni ya ardhi iliyokodiwa katika maeneo ya Lokichar basin. Na kama anavyoarifu Cheboit Emmanuel Wakazi walioathirika na mradi wa mafuta wanadai mgao wa fedha hizo.
Mzozo unatokota kati ya jamii ya Turkana na kaunti
- 26 Oct 2024 - France's National Assembly on Friday approved an amendment to the government's 2025 belt-tightening budget bill that would hit the country's wealthiest individuals with a billionaires tax.
- 26 Oct 2024 - In Uruguay's capital Montevideo and around this South American nation of 3.4 million people, voters are gearing up for Sunday's election, overshadowed by a plebiscite on pensions the same day and fears over crime.
- 26 Oct 2024 - A prolific "catfish" offender who pushed one of his victims, a 12-year-old US girl, to commit suicide was on Friday jailed for life at a court in Northern Ireland.
- 26 Oct 2024 - Clergy's redemption lies in hybrid regulation
- 26 Oct 2024 - Quarter of medical training schools fail to meet standards
- 26 Oct 2024 - William Ruto risks falling into the trap of not getting the truth
- 26 Oct 2024 - Public participation empowers people to seek genuine growth
- 26 Oct 2024 - Migori teachers reject proposals to merge KPSEA candidates in smaller institutions
- 26 Oct 2024 - Action must help diminish fossil fuel extraction
- 26 Oct 2024 - My ex-husband didn't give a coin for Sh70m property, says athlete