Rais wa zamani Obama azungumzia changamoto zilizopo katika uchaguzi 2024
Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama Jumanne aliwatahadharisha Wademokratik kuwa licha ya kuwa “uongozi umekabidhiwa “ kwa Harris, jukumu la Wademokratik bado halijamalizika.
Obama alikuwa mzungumzaji mkuu katika usiku wa pili wa mkutano wa chama huko Chicago. Alitahadharisha dhidi ya kuridhika na hali hii wakati wa uchaguzi wa Novemba na kuwahimiza Wamarekani kupiga kura.
“Msifanye kosa, itakuwa ni mapambano,” Obama alisema. Kwa nguvu zote za ajabu tulizoweza kuzikusanya, Kwa mikutano na ushawishi uliotapakaa, “Huu bado utakuwa uchaguzi wenye ushindani katika nchi iliyo na mgawanyiko.” - AP
#dnc #obama #harris #voa
25 Oct 2024
- The President and his impeached deputy are seemingly at a point of no return.
25 Oct 2024
- Until today, the Head of State had avoided commenting on anything revolving around the impeachment saga.
25 Oct 2024
- Kenya Met also listed regions to experience very cold nights.
26 Oct 2024
- France's National Assembly on Friday approved an amendment to the government's 2025 belt-tightening budget bill that would hit the country's wealthiest individuals with a billionaires tax.
26 Oct 2024
- In Uruguay's capital Montevideo and around this South American nation of 3.4 million people, voters are gearing up for Sunday's election, overshadowed by a plebiscite on pensions the same day and fears over crime.
26 Oct 2024
- A prolific "catfish" offender who pushed one of his victims, a 12-year-old US girl, to commit suicide was on Friday jailed for life at a court in Northern Ireland.
26 Oct 2024
- Clergy's redemption lies in hybrid regulation
26 Oct 2024
- Action must help diminish fossil fuel extraction
26 Oct 2024
- My ex-husband didn't give a coin for Sh70m property, says athlete
26 Oct 2024
- Savannah ups offer in fight for Bamburi with Tanzania firm
26 Oct 2024
- Kenya must embrace diversity to achieve real national prosperity
26 Oct 2024
- All systems set for Monday's final national primary assessment
26 Oct 2024
- Impeached Gachagua suffers blow after judges stay put on hearing his case