- 7,261 views
Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Gilbert Masengeli amezidisha ukaidi akisistiza kuwa hatashurutishwa na yeyote kutekeleza majukumu yake ambayo ni pamoja na kuwaajiri, kuwatuma na kuwaondoa maafisa wa polisi. Masengeli amesema kuwa idara ya polisi ni idara huru na ina majukumu ya kuhakikisha kuwakila mkenya anapewa ulinzi. Licha ya masengeli kusema kuwa tayari jaji lawrence mugambi amerejeshewa ulinzi, tume ya huduma za mahakama JSC imesema kuwa haina thibitisho kuhusu madai ya masengeli. Na kama anavyoarifu Ben Kirui, mashirika mbalimbali yanamtaka masengeli kuwajibishwa.
Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Gilbert Masengeli asistiza kuwa hatashurutishwa
- 29 Apr 2025 - In a circular, Nyakango halted issuance of bursaries to learners by devolved units
- 29 Apr 2025 - The United Nations Human Rights Council (UNHRC) will on May 1, 2025 examine Kenya’s human rights records for the fourth time.
- 29 Apr 2025 - Nairobi Senator Edwin Sifuna has censured individuals who are faulting the BBC documentary exposing police officers who shot dead protestors during the 2024 anti-government protests at Parliament buildings in Nairobi.
- 29 Apr 2025 - Set against the backdrop of a shifting global arts landscape and a growing appetite for cross-border collaboration, the Season brings together artists, educators, institutions, and communities in a shared dialogue on creativity, identity, and innovation.
- 29 Apr 2025 - State under pressure to arrest officers implicated in the killing of protestors in Parliament.
- 29 Apr 2025 - There are growing concerns over the rising number of Kenyans passing away abroad in troubling circumstances.
- 29 Apr 2025 - The changes are to take place immediately.
- 29 Apr 2025 - Erick Mutinda, a suspect in the killing of Multimedia University (MMU) student Sylvia Kemunto has been charged with murder.
- 29 Apr 2025 - The parents observed that the school fees burden is a serious issue due to poor economic conditions.
- 29 Apr 2025 - Commission says it received pay reviews valued at Sh10.35bn but approved only Sh6.45bn