- 197 views
Timu ya taifa ya Kenya ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ilifanya mazoezi yao ya mwisho kabla ya kuondoka kwenda Uhispania siku ya Alhamisi. Junior Starlets watapiga kambi nchini Uhispania kwa siku 11 kabla ya kuelekea Jamhuri ya Dominika mnamo Oktoba mosi. Kocha Mildred Cheche anasema kambi hiyo ya Uhispania inajiri wakati muafaka baada ya benchi la ufundi kuimarisha maeneo kadhaa ambayo yalikuwa na upungufu wakati wa mechi za kufuzu kwa kombe la dunia. Timu hiyo itakuwa nchini Uhispania kwa siku 11 ambapo watakuwa na kambi ya mazoezi na kucheza mechi kadhaa za kirafiki na timu za Uhispania. Kambi hiyo pia itatumika kuimarisha ujasiri wa wachezaji kabla ya kibarua kikubwa katika Jamhuri ya Dominika. Timu ya wanawake chini ya umri wa miaka 17 ni timu ya kwanza ya Kenya kufuzu kwa kombe lolote la dunia la FIFA.
Junior Starlets kufanyia matayarisho ya mwiaho kwa Kombe la Dunia nchini Uhispania
- 29 Apr 2025 - In a circular, Nyakango halted issuance of bursaries to learners by devolved units
- 29 Apr 2025 - The United Nations Human Rights Council (UNHRC) will on May 1, 2025 examine Kenya’s human rights records for the fourth time.
- 29 Apr 2025 - Nairobi Senator Edwin Sifuna has censured individuals who are faulting the BBC documentary exposing police officers who shot dead protestors during the 2024 anti-government protests at Parliament buildings in Nairobi.
- 29 Apr 2025 - Set against the backdrop of a shifting global arts landscape and a growing appetite for cross-border collaboration, the Season brings together artists, educators, institutions, and communities in a shared dialogue on creativity, identity, and innovation.
- 29 Apr 2025 - State under pressure to arrest officers implicated in the killing of protestors in Parliament.
- 29 Apr 2025 - There are growing concerns over the rising number of Kenyans passing away abroad in troubling circumstances.
- 29 Apr 2025 - DCI said it will foster a responsible gaming environment that protects Kenyans from exploitation.
- 29 Apr 2025 - The changes are to take place immediately.
- 29 Apr 2025 - Why current academies can't match defunct National Youth Olympic Centres
- 29 Apr 2025 - Erick Mutinda, a suspect in the killing of Multimedia University (MMU) student Sylvia Kemunto has been charged with murder.