- 424 views
Naibu rais Rigathi Gachagua sasa amewapa changamoto wabunge wanaopanga kumngo’a mamlakani akiwataka washughulike na kazi ya kutunga sheria zinazowanufaisha wakenya. Akizungumza alipozuru kaunti za eneo la mlima kenya Gachagua alimtaka rais William Ruto kumuacha afanye kazi aliyopigiwa kura na wananchi akisema kuwa ikiwa rais atachagua mtu mwingine mwaka wa elfu mbili ishirini na saba atakubali ila kwa sasa aachwe amalize kipindi hiki. Gachagua amesisitiza kuwa hakuna mtu atakayemtoa mamlakani kama sio wananchi waliompigia kura akitaka rais Ruto akome kutumia wabunge kumtimua.
Naibu Gachagua awapa changamoto wabunge wanaopanga kumngo’a mamlakani
- - Duniani Leo ››
- 30 Sep 2024 - Cult-like killings rattle Narok residents
- 30 Sep 2024 - Are Kenya Kwanza political wars distraction from failing agenda?
- 30 Sep 2024 - Pundits: Ruto's chance to smash Gachagua a poisoned chalice
- 30 Sep 2024 - Throw away the 'rotten egg' that is Gachagua's impeachment bid
- 30 Sep 2024 - DP Gachagua is accused of corruptly and unlawfully acquiring assets valued at over Sh5.7 billion, an amount inconsistent with his monthly salary as the deputy president.
- 30 Sep 2024 - At the heart of the issue was the cash spent on inaugural celebrations to mark the rights of minorities.
- 30 Sep 2024 - The latest development saw the Ministry of Lands and Government Printer wrangle over the nature of stolen security documents.
- 30 Sep 2024 - Bill promoted by National Assembly's Majority Leader seeks to provide guidelines on public participation.
- 30 Sep 2024 - Mombasa residents turn up in large numbers to witness first-hand what a Tuk-Tuk race entails.
- 30 Sep 2024 - Campaigns against female genital mutilation have gained momentum since it was declared illegal.