- 200 views
Naibu rais Rigathi Gachagua sasa amewapa changamoto wabunge wanaopanga kumngo’a mamlakani akiwataka washughulike na kazi ya kutunga sheria zinazowanufaisha wakenya. Akizungumza alipozuru kaunti za eneo la mlima kenya Gachagua alimtaka rais William Ruto kumuacha afanye kazi aliyopigiwa kura na wananchi akisema kuwa ikiwa rais atachagua mtu mwingine mwaka wa elfu mbili ishirini na saba atakubali ila kwa sasa aachwe amalize kipindi hiki. Gachagua amesisitiza kuwa hakuna mtu atakayemtoa mamlakani kama sio wananchi waliompigia kura akitaka rais Ruto akome kutumia wabunge kumtimua.
Naibu Gachagua awapa changamoto wabunge wanaopanga kumngo’a mamlakani
- - Duniani Leo ››
- 30 Sep 2024 - Six people have died of alcohol poisoning in northern Iran after consuming bootleg booze, state media in the Islamic republic reported Sunday.
- 30 Sep 2024 - The Israeli military said on Sunday the strike that killed Hezbollah chief Hassan Nasrallah this week in Beirut also "eliminated" more than 20 other members of the Lebanese armed group.
- 30 Sep 2024 - This follows a troubling incident that occurred at his Muthaiga residence on Saturday night, where he claims police vehicles invaded his property and spilled the blood of an unidentified animal outside his gate.
- 30 Sep 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has denied allegations he banged the table during a meeting with his boss, President William Ruto after he was reportedly denied a Ksh.8 billion package to vacate his post.
- 30 Sep 2024 - Cult-like killings rattle Narok residents
- 30 Sep 2024 - Ruto can't save Gachagua, UDA MPs say
- 30 Sep 2024 - Are Kenya Kwanza political wars distraction from failing agenda?
- 30 Sep 2024 - Pundits: Ruto's chance to smash Gachagua a poisoned chalice
- 30 Sep 2024 - Why Grade 9 preparation is in jeopardy, three months to rollout
- 30 Sep 2024 - Throw away the 'rotten egg' that is Gachagua's impeachment bid