Skip to main content
Skip to main content

Afisa wa DCI awapiga risasi watu 4 Bungoma

  • | Citizen TV
    8,477 views
    Duration: 1:46
    Maafisa wa polisi Kaunti ya Bungoma wameanzisha uchunguzi wa tukio ambapo afisa wa upelelezi wa DCI aliwapiga watu risasi alipokuwa akitoa ushahidi mahakamani kuhusiana na kesi ambayo amekuwa akichunguza.