- 2 views
Wizara ya afya iko katika tahadhari kuu kufuatia kuripotiwa kwa kisa cha ugonjwa wa Ebola mjini Mbale, mashariki ya Uganda, ulio chini ya umbali wa kilomita-70 kutoka eneo la mpakani la Malaba. Mikakati hiyo inajumuisha kuimarishwa kwa uchunguzi katika viingilio vya humu nchini huku maegesho maalum yakitengwa kwa ndege zinazowasili kutoka nchini Uganda. Wananchi wamehimizwa wawe waangalifu zaidi huku serikali ikishauriana na halmashauri ya kusambaza vifaa vya matibabu hapa nchini-KEMSA ili kununua dawa za kutosha vikiwemo vifaa vya kujikinga katika juhudi za kujiandaa kwa hali yoyote inayoweza kutokea. Kufikia leo, Uganda imethibitisha visa-9 vya maradhi ya Ebola.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ebola yaripotiwa Mbale, Mashariki ya Uganda
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 13 Feb 2025 - Burundi's President Evariste Ndayishimiye warned Rwanda against attacking it as tension rises over the deadly conflict in neighbouring Democratic Republic of Congo, in comments broadcast on Wednesday.
- 13 Feb 2025 - The Ministry of Health is appealing to Kenyans to contribute to the social health insurance scheme to ensure uninterrupted medical services
- 12 Feb 2025 - Senators allied to Deputy President Rigathi Gachagua have been de-whipped from various lucrative House committees.
- 12 Feb 2025 - The company that was hired by the family of the late Chief Gerald Odongo, whose burial was disrupted in Matungu, Kakamega County by chaos, is now demanding over Ksh.1.5 million as compensation for the damage to their equipment.
- 12 Feb 2025 - Prime CS Musalia Mudavadi has asked the African nations to vote for the Kenyan candidate Raila Odinga as AUC Chairperson so as to ensure the fast-tracking of peace and stability of the continent.
- 12 Feb 2025 - Isaac Gachoki, the butcher who made headlines for mutilating another man's genitals over a Ksh.50 debt, will remain in custody for 13 days while awaiting a probation report to determine if he is eligible for release on bond.
- 12 Feb 2025 - Two suspected drug traffickers were arrested on Wednesday following a police-led raid operation in the Kombani area of Kwale County, which resulted in the seizure of 12 sacks of bhang.
- 12 Feb 2025 - Programmes to tackle HIV, polio, mpox and bird flu have been affected by the freeze
- 12 Feb 2025 - The power interruption will occur between 9am and 5pm in different areas
- 12 Feb 2025 - Last year was the deadliest for journalists in recent history, with at least 124 reporters killed -- and Israel responsible for nearly 70 percent of that total, the Committee to Protect Journalists reported Wednesday.