Skip to main content
Skip to main content

Familia mbili zinalia kwa mauaji ya KPR Kaputir

  • | Citizen TV
    2,993 views
    Duration: 2:44
    Familia mbili katika eneo la Kaputir, huko Turkana South zinaomboleza na kudai haki baada ya jamaa zao wawili waliokuwa maafisa wa polisi wa akiba -KPR- wanadaiwa kuuwawa na wanajeshi wa KDF walioko katika kambi ya Loyapat.