Skip to main content
Skip to main content

Familia moja Timau yataka NLC kuingilia kati ili kutatua mzozo wa umiliki wa ardhi ya ekari 70

  • | Citizen TV
    162 views
    Duration: 1:59
    Familia Moja eneo la Timau mpakani mwa kaunti za Laikipia na Meru inaililia tume ya Ardhi nchini kutatua mzozo wa umiliki wa ardhi ya ekari 70 uliopo baina Yao na serikali ya kaunti ya Meru.