Skip to main content
Skip to main content

Ghasia zazidi kabla ya chaguzi ndogo – polisi wawawa na wengine wajeruhiwa Kasipul

  • | Citizen TV
    6,974 views
    Duration: 2:55
    Wiki mbili kabla ya chaguzi ndogo kufanyika maeneo 24 nchini, visa vya ghasia vimeendelea kuripotiwa kwenye kampeni. Katika eneo la kasipul, maafisa wa polisi walifika nyumbani kwa mwaniaji wa ODM Boyd Were na kuwakamata washukiwa wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya watu wawili wiki jana. Maafisa watatu walijeruhiwa wakati wa makabiliano hayo