Skip to main content
Skip to main content

Guterres atoa wito wa kusitishwa kwa mapigano

  • | KBC Video
    54 views
    Duration: 1:03
    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa wito wa kusitishwa kwa vita vya Darfur nchini Sudan akisisitiza haja ya mazungumzo ya pamoja.Huku uhuru wa taifa la Sudan ukiendelea kudidimizwa na utegemezi wa msaada wa kijeshi kutoka nje, Guterres anahofia hatua hiyo huenda ikazidisha umwagikaji damu na kupotea kwa maisha. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive