Hali ya utulivu mjini Damascus baada ya kupinduliwa Rais wa zamani Assad
Video zilizorekodiwa na ndege zisizokuwa na rubani katika mji mkuu wa Syria, Damascus, zinaonyesha kwamba shughuli zinaendelea kama kawaida.
Benki zimefunguliwa kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa utawala wa Bashar al-assad, ikiwa ni hatua inayoashiria kurejea kwa hali ya kawaida nchini humo.
Video pia zinaonyesha maduka yakiwa yamefunguliwa, sawa na shughuli za ujenzi kuendelea. Usafi pia unaendelea mjini.
Hatua ya kupinduliwa kwa utawala wa Bashar imepelekea nchi kadhaa katika eneo hilo na nchi zenye ushawishi mkubwa duniani kuwa na wasiwasi kuhusu hali ya baadaye ya Syria baada ya waasi kuchukua udhibithi wa nchi.
Wakazi wa Damascus wameonekana wakifanya usafi huku wengine wakipiga picha karibu na gari la kijeshi, siku chache baada ya waasi kuudhibiti mji huo.
Wakazi wameelezea matumaini kwamba maisha yao yanakuwa sawa baada ya kuanguka kwa utawala wa rais Bashar al-Assad.
Baadhi yao wameonekana wakikanyaga picha ya rais aliyepinduliwa na kuyasifu mataifa yote ya kiarabu kwa ushindi huo.
Waziri mkuu wa Assad, Mohammed Jalali, amekubali kuachia madaraka kwa waasi. - Reuters
#syria #damascus #alassad #voa
18 Apr 2025
- The project had been ongoing for ten years.
18 Apr 2025
- The man is currently without his own home and is depending on others for housing.
18 Apr 2025
- The Kenya Met boss also listed counties that would experience very cold nights.
19 Apr 2025
- Canada's Prime Minister Mark Carney faced sustained attacks from his Conservative rival at an election debate Thursday, but the Liberal leader sought to focus attention on what he calls Canada's top threat, President Donald Trump.
19 Apr 2025
- Iran staged military parades on Friday to mark its annual Army Day celebrations, showcasing a wide array of its latest domestically built drones, missiles, tanks, and other hardware.
19 Apr 2025
- A woman is in custody after being found in possession of nearly 300 grams of cocaine, following a sting by a multi-agency security team targeting drug trafficking routes between Kenya’s Northern Frontier and the capital.
19 Apr 2025
- Idriss noted that the agency has observed a significant shift from development aid to investment-based financing, helping narrow the funding gap for well-prepared infrastructure projects.
19 Apr 2025
- Top county officials summoned in waste firm deal
19 Apr 2025
- After a 14-month hiatus, former Interior CS Fred Matiang'i, who left the country under a cloud of controversy after his home was raided by police, is back in the public sphere.
18 Apr 2025
- Detectives at the Kayole Police Station in Nairobi are holding a senior Imam for the offence of causing grievous harm to at least two persons.
18 Apr 2025
- Gas blast kills two, injures several in Embakasi South
18 Apr 2025
- Managing leg disorders in broiler chickens
18 Apr 2025
- Chaos erupted at the Kitale Museum on Friday afternoon as a modelling competition was violently disrupted by over 50 armed youths.