Skip to main content
Skip to main content

IEBC yasema iko tayari kuandaa chaguzi ndogo

  • | KBC Video
    23 views
    Duration: 4:21
    Tume ya uchaguzi na mipaka humu nchini-IEBC imesema itahahakikisha chaguzi ndogo zijazo zitakuwa huru, wazi na zinazodumisha amani. Akiongea jijini Nairobi, mwenyekiti wa tume ya IEBC Erustus Ethokon aliwahimiza wahusika wote kuzingatia maadili, akisema tume hiyo haitaridhia vitendo vyovyote vya uvunjaji sheria. Chaguzi hizo zitaandaliwa katika maeneo bunge sita, wadi-16 na kwenye kaunti moja. Timothy Kipnusu anatuarifu zaidi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive