Skip to main content
Skip to main content

IEBC yasema zitakuwa huru na za haki

  • | KBC Video
    14 views
    Duration: 3:22
    Tume ya uchaguzi na mipaka humu nchini-IEBC imejitolea kuhakikisha chaguzi ndogo zilizo huru, sawa, wazi na zinazodumisha amani katika maeneo-24 ambako utaandaliwa tarehe 27, mwezi huu. Akiongea jijini Nairobi, mwenyekiti wa tume ya IEBC Erustus Ethokon aliwahimiza wale wanaoshiriki katika chaguzi hizo kuzingatia maadili, akisema tume hiyo haitaridhia vitendo vyovyote vya uvunjaji sheria. Chaguzi hizo zitakuwa za kwanza kusimamiwa na makamishna wapya wa tume ya IEBC waliochukua hatamu za uongozi mnamo tarehe 11, mwezi Julai mwaka huu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive