- 197 views
Timu ya taifa ya Kenya ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ilifanya mazoezi yao ya mwisho kabla ya kuondoka kwenda Uhispania siku ya Alhamisi. Junior Starlets watapiga kambi nchini Uhispania kwa siku 11 kabla ya kuelekea Jamhuri ya Dominika mnamo Oktoba mosi. Kocha Mildred Cheche anasema kambi hiyo ya Uhispania inajiri wakati muafaka baada ya benchi la ufundi kuimarisha maeneo kadhaa ambayo yalikuwa na upungufu wakati wa mechi za kufuzu kwa kombe la dunia. Timu hiyo itakuwa nchini Uhispania kwa siku 11 ambapo watakuwa na kambi ya mazoezi na kucheza mechi kadhaa za kirafiki na timu za Uhispania. Kambi hiyo pia itatumika kuimarisha ujasiri wa wachezaji kabla ya kibarua kikubwa katika Jamhuri ya Dominika. Timu ya wanawake chini ya umri wa miaka 17 ni timu ya kwanza ya Kenya kufuzu kwa kombe lolote la dunia la FIFA.
Junior Starlets kufanyia matayarisho ya mwiaho kwa Kombe la Dunia nchini Uhispania
- 29 Apr 2025 - In a circular, Nyakango halted issuance of bursaries to learners by devolved units
- 29 Apr 2025 - The government has suspended all gambling advertisements and testimonials across all media platforms for 30 days.
- 29 Apr 2025 - The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has addressed the investigation progress from the death cases reported during the June 25, 2024 anti-government nationwide protests.
- 29 Apr 2025 - Writhing in pain on a hospital bed in a Kenyan coastal town, teenage snakebite victim Shukurani Konde Tuva faced the grim reality of his left leg from above the knee being amputated.
- 29 Apr 2025 - A 25-year-old man drowned in the Thiba River while swimming at Rukenya Falls in Gichugu, Kirinyaga County, on Sunday.
- 29 Apr 2025 - Erin Patterson, 50, is charged with three murders -- including both of her parents-in-law -- and one attempted murder.
- 29 Apr 2025 - A conclave is the centuries-old election of a pope that derives its name from the Italian “con clave” (with a key) to underscore that cardinals are sequestered until they find a winner.
- - BBC's 'Blood Parliament' private screening cancelled amid pressure from authorities
- 29 Apr 2025 - Kenyan authorities have blocked the screening of a BBC documentary exposing police officers who shot dead protestors at last year’s anti-tax demonstrations at Parliament buildings in Nairobi, the British broadcaster says.
- 29 Apr 2025 - The government agency urged Keyans facing challenges to reach out to EACC officials or police officers.