- 191 viewsUpendo Kibona, Mkurugenzi wa Kampuni ya Lucid Dream Limited, anasema kuwa madini ya Tanzania yanapouzwa ndani pekee, thamani yake inabaki kuwa ndogo. Alisisitiza kuwa ni muhimu wanunuzi wa kimataifa washiriki moja kwa moja kwenye minada nchini. "Tunaogombania haya madini ni Watanzania sisi wenyewe. Wale watu wa nchi za nje wakija hapa Tanzania kuyanunua haya madini, ndio pale tutapata masoko ya kuyauza nje ya nchi. Lakini yanaponunuliwa kwa Watanzania wenyewe, inakuwa ni ngumu kuwa na thamani kubwa," alisema Kibona. Wanunuzi wanasema kuwa kuanzishwa kwa mnada huo wa kidijitali utasaidia kurudisha na kuongeza thamani ya madini nchini kwa kuimarisha ushindani sokoni na hivyo kusaidia wanunuzi hao kupata bei nzuri. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #tanzania #mfumo #kidigitali #madini #ununuzi #uuzaji #sokolabidhaa #nicholauskaserwa #mererani #manyara #mkoa #voa #voaswahili #luciddreamltd
Kampuni ya Lucid Dream Ltd inasisitiza umuhimu wa wanunuzi wa nje
- - Ulimwengu wa Soka ››
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 12 Apr 2025 - The Ministry of Interior is raising the alarm over the increasing incidents of gender-based violence in Taita Taveta.
- 12 Apr 2025 - A section of Narok leaders now say they will oppose the construction of a proposed international airport on land allegedly linked to former President Uhuru Kenyatta in Maasai Mara.
- 12 Apr 2025 - Farouk serves as Ruto's personal assistant, who many leaders including the former DP Rigathi Gachagua complained of.
- 12 Apr 2025 - The Member of County Assembly died after a short illness.
- 12 Apr 2025 - Irene Wambua Mbithe, a woman from Machakos County who lost her eye to a hyena attack, has successfully undergone the first process of artificial eye surgery transplant at Lions' Firstsight Eye Hospital.
- 12 Apr 2025 - The protests emerged ahead of President Ruto's tour of the region.
- 12 Apr 2025 - National Assembly minority leader Junet Mohamed has sustained attacks on former Deputy President Rigathi Gachagua over his shareholding claims, which hounded him out of office. Speaking during the funeral ceremony of the late George Odour, Raila Odinga’…
- 12 Apr 2025 - The President has given the Cabinet Secretaries expanded roles in their various capacities.
- 12 Apr 2025 - Atwoli has served Kenya for over 20 years.
- 12 Apr 2025 - The severity of the crimes has left communities shaken, prompting widespread concern.