- 5 views
Waziri wa uhifadhi wa mazingira na misitu Adan Duale amewahakikishia Wakenya kwamba serikali kwa ushirikiano na Ufaransa imejitolea kukomesha visa vya mioto ambavyo vimeripotiwa katika maeneo mbali mbali humu nchini. Akiongea wakati wa kuanzisha msafara wa magari na vifaa vya kuzima moto katika makao makuu wa shirika la kuhifadhi misitu-KFS, waziri Duale alisema serikali pia imebuni makundi ya kukabiliana na dharura ambayo yatatumiwa droni kutambua visa vya mioto kwenye misitu. Kufikia sasa hekta-1500 za misitu zimeharibiwa na moto huku visa-231 vya mioto vikiripotiwa kote nchini katika kipindi cha miaka miwili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kero la mioto misituni
- - WRC, Betika boost ››
- 6 Mar 2025 - Faith-based health facilities have issued a 14-day ultimatum for the government to clear their claims; failure to which they will not offer services to patients seeking the services using the Social Health Authority (SHA) and result on cash services only.
- 6 Mar 2025 - Reactions have flooded in after Inooro TV, on their popular Njeraini Citu program, aired the story of a young woman who was arrested and subsequently jailed for gambling away Ksh. 200,000 - money she had been entrusted to keep as an informal Sacco…
- 6 Mar 2025 - Edward Mwai, the founder of Jesus Winner Ministry, has cleared the air on allegations of land-grabbing to erect a church.
- 6 Mar 2025 - Notable individuals have been shortlisted for the positions of chairperson of the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).
- 6 Mar 2025 - Kenyan Ambassador to Thailand Kiptiness Lindsay Kimwole has revealed that 129 Kenyans rescued from Myanmar are now stuck at the Thailand border
- 6 Mar 2025 - Muslima Abdi, a well-wisher who took him to the hospital, described Nura’s difficult background, highlighting the lack of support he faced in overcoming drug addiction, which ultimately led to his mental health issues.
- 6 Mar 2025 - The youths spoke moments after Raila addressed possibilities of working with Gachagua.
- 6 Mar 2025 - This decision follows the tragic drowning of two students from Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology (JKUAT) just four days ago.
- 6 Mar 2025 - It has led to public outcry and calls for reforms to ensure that the public service reflects the ethnic diversity of the county.
- 6 Mar 2025 - If adopted, the motion by MCA Alai will provide a six-month grace period for compliance