Skip to main content
Skip to main content

Kwa nini elimu ya umma inaonekana kupuuzwa?

  • | KBC Video
    71 views
    Duration: 3:10
    Serikali imetakiwa kuweka mifumo dhabiti ili kuimarisha sekta ya elimu ya umma. Kulingana na wadau katika sekta ya elimu, elimu ya umma imetishiwa na ongezeko la shule za kibinafsi na uwekezaji hafifu, huku maeneo kadhaa yakikosa hata shule moja ya umma. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive