Laura Seethal atoa kibao chake kipya Push 2 Start remix
Mwanamuziki maarufu Laura Seethal al maarufu Tyla ametoa wiki hii, video ya wimbo wake mpya Push 2 Start remix akimshirikisha msanii nguli wa dancehall wa Jamaica Sean Paul.
Wimbo huo mpya kutolewa unatokana na mfululizo wa albamu ndefu ya kwanza ya mwnamuziki huyu kinda mwenye umri wa miaka 23, iitwayi Tyla, ambayo ilitolewa Oktoba 2024.
Mwanamuziki huyo mzaliwa wa Afrika Kusini alipata mafanikio wakati wimbo wake single amapiano Water ulipotamba kwenye TikTok. Wimbo huo ulishika nafasi ya saba kwenye Billboard Hot 100 ya Marekani na kuingia katika nyombo za juu 5 nchini Uingereza, na kumfanya kuwa msanii wa kike aliyeshika chati nyingi zaidi katika historia ya Afrika.
Februari 19, ilitangazwa kuwa mwimbaji huyo wa Truth or Dare alikuwa msanii wa kwanza wa Kiafrika kupata kuangaliwa mara bilioni moja kwenye Spotify kwa wimbo wake uliotamba wa Water.
Pia alishinda tuzo ya uzinduzi ya uchezaji bora wa muziki wa Kiafrika katika Grammys kwa wimbo huo.
#mwanamuziki #lauraseethal #tyla #push2startremix #voa #voaswahili #burudani
6 Mar 2025
- Tensions were witnessed on Wednesday with the arrest of the nation's Petroleum Minister and several senior military officials allied to Riek Machar.
6 Mar 2025
- Rachel Ruto also announced the date for commencement of the programme.
6 Mar 2025
- Agriculture CS Mutahi Kagwe initially said the government would 321,000 bags of wheat from farmers across the country.
7 Mar 2025
- Kenya Cup leaders KCB RFC have enlisted DHL Stormers forwards coach Rito Hlungwani to sharpen their pack ahead of their high-stakes clash with defending champions Kabras Sugar tomorrow at the ASK Grounds in Kakamega. The match, a top-of-the-table…
7 Mar 2025
- After a week of back-to-back explosive reports from both Auditor General Nancy Gathungu and Controller of Budget Margaret Nyakang’o on the irregularities and breaches by both the national and county governments in their expenditures, Thursday was the…
7 Mar 2025
- The handshake deal between President William Ruto and Orange Democratic Movement (ODM) leader Raila Odinga appears to be edging closer, with the new House departmental committees handed over to the opposition party.
7 Mar 2025
- The Rural & Urban Private Hospitals Association of Kenya (RUPHA) has now lifted the suspension of services offered under the Social Health Authority (SHA).
6 Mar 2025
- The renewed clashes erupted on March 4 in which two people died while more than 20 others are reported to be nursing arrow wounds.Authorities say tens of acres of sugarcane plantations were destroyed after being set ablaze.
6 Mar 2025
- The meeting is on Friday at 7am.
6 Mar 2025
- IPOA has launched investigations into the fatal shooting of 17-year-old Ibrahim Ramadhan Chege in Majengo, Starehe Constituency, by officers from Shauri Moyo Police Station.
6 Mar 2025
- Former Prime Minister Raila Odinga has downplayed the presidency declaration of former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i in the upcoming 2027 general elections, emphasizing that regional voting blocs alone cannot secure Kenya’s top seat. Speaking…
6 Mar 2025
- Ax Men deaths created a huge gap in the entertainment industry. Here are all the names of the cast members who have died since the show premiered. Read on!
6 Mar 2025
- Yasir Arman protested his innocence, accusing the Sudanese junta of politically targeting those who refuse to side with it.