Skip to main content
Skip to main content

Maafisa watatu wa GSU wajeruhiwa kwa kupigwa risasi Samburu

  • | Citizen TV
    4,339 views
    Duration: 1:20
    Maafisa watatu wa GSU wamejeruhiwa Kwa kupigwa risasi na wahuni katika eneo la Barsaloi, Samburu kaskazini, walipokuwa wakishika doria kwenye barabara kuu ya Maralal kuelekea Baragoi