Skip to main content
Skip to main content

Mahakama ya Iten yaonya dhidi ya kutatua kesi nyumbani

  • | Citizen TV
    351 views
    Duration: 1:46
    Hakimu Mkuu Katika Mahakama Ya Iten Kaunti Ya Elgeyo Marakwet Gladys Adhiambo, ametaja Kesi zinazoshughulikiwa nyumbani kuwa kikwazo kikuu katika upatikanaji wa haki kwa watoto wanaodhulumiwa katika kaunti hiyo.