Skip to main content
Skip to main content

Mazungumzo Mapya ya amani Sudan yaaanza Nairobi

  • | Citizen TV
    594 views
    Duration: 1:29
    Mashirika ya Koffi Annan Foundation, Amina Live, na Magharib Centre yameanzisha upya mchakato wa kuleta mazungumzo kati ya pande zinazopigana nchini Sudan, kwa kuwaleta pamoja Generali Abdel Fattah al-Burhan na Generali Mohamed Hamdan Hemedti wa RSF