- 2,508 views
Familia moja katika kijiji cha Miti Tatu eneo bunge la Kipkelion mashariki inaomboleza kifo cha jamaa yao aliyeuawa na ndovu. David Bii ambaye alikuwa mwalimu wa shule ya msingi ya Dr. Koech anadaiwa alikuwa akiwapiga picha ndovu wawili ambao walikuwa wametoka katika msitu wa Soget na kuingia katika mashamba ya wananchi. Ndovu hao wanasemekana kumgeukia na mmoja alimvyoga hadi kumuua mwalimu huyo huku mtu wa pili aliyekuwa katika eneo la tukio akijeruhiwa. Moses Mutai alipelekwa katika hospitali ya Londiani kwa matiabu. Wakaazi wanataka maafIsa wa KWS kuhakikisha ndovu hawatoki msituni na kuvamia wananchi pamoja na mimea yao. Wakati huo huo, jamaa wa mwalimu aliyeuawa wanataka walipwe fidia kufuatia mauaji yake.
Ndovu aliyehepa msituni amvyoga na kumuua mwalimu Kericho
- 26 Oct 2024 - France's National Assembly on Friday approved an amendment to the government's 2025 belt-tightening budget bill that would hit the country's wealthiest individuals with a billionaires tax.
- 26 Oct 2024 - In Uruguay's capital Montevideo and around this South American nation of 3.4 million people, voters are gearing up for Sunday's election, overshadowed by a plebiscite on pensions the same day and fears over crime.
- 26 Oct 2024 - A prolific "catfish" offender who pushed one of his victims, a 12-year-old US girl, to commit suicide was on Friday jailed for life at a court in Northern Ireland.
- 26 Oct 2024 - US President Joe Biden was set on Thursday to deliver a historic apology for one of the country's "darkest chapters": the abduction of Native American children from their families and placement in abusive boarding schools aimed at erasing their culture.
- 26 Oct 2024 - The pope's commission on clerical child sex abuse said Friday it will publish its first annual report next week, a decade after the body was established.
- 25 Oct 2024 - Kenya should never again be subjected to the politics of division and ethnicity, President William Ruto has said.
- 25 Oct 2024 - Thomas Mutune, who was once sentenced to 30 years in prison for narcotics trafficking, emerged from the Thika Prison as a qualified lawyer after serving just a decade behind bars.
- 25 Oct 2024 - The leaders called for a comprehensive awareness campaign to educate communities on the dangers of GBV and femicide, stressing that ending the crisis requires a cultural shift in societal perceptions of women and girls.
- 25 Oct 2024 - NAIROBI Kenya, Oct 25 – The High Court has suspended the Sh95 billion agreement between Kenya’s Ministry of Energy and Adani Energy Solutions for constructing and operating key electricity transmission infrastructure. Justice Bahati Mwamuye, in a ruling…
- 25 Oct 2024 - The government has come out to allay fears that it is clamping down on the freedom of worship as a fundamental right in Kenya.