- 155 views
Waziri wa ardhi Alice Wahome amekanusha madai kuwa mfanyabiashara tata kutoka nchini Uturuki Harun Aydin aliyefurushwa humu nchini mwaka-2021 amepewa zabuni ya kujenga nyumba elfu-10 humu nchini chini ya mpango wa nyumba za gharama nafuu. Wizara hiyo hata hivyo, inasema Aydin alikuwa amewasilisha ombi la kupewa zabuni hiyo lakini hakufua dafu. Waziri aliyasema hayo baada ya mkutano na mhubiri James Ng’ang’a ambaye alinakiliwa akimfokea mwanamke aliyemuomba msaada wa kulipa kodi ya nyumba na badala yake akamwagiza kutafuta usaidizi katika mpango wa nyumba za gharama nafuu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Nyumba za Gharama Nafuu I Waziri wa ardhi akutana na mhubiri James Ng’ang’a
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 13 Feb 2025 - Burundi's President Evariste Ndayishimiye warned Rwanda against attacking it as tension rises over the deadly conflict in neighbouring Democratic Republic of Congo, in comments broadcast on Wednesday.
- 13 Feb 2025 - The Ministry of Health is appealing to Kenyans to contribute to the social health insurance scheme to ensure uninterrupted medical services
- 12 Feb 2025 - Senators allied to Deputy President Rigathi Gachagua have been de-whipped from various lucrative House committees.
- 12 Feb 2025 - The company that was hired by the family of the late Chief Gerald Odongo, whose burial was disrupted in Matungu, Kakamega County by chaos, is now demanding over Ksh.1.5 million as compensation for the damage to their equipment.
- 12 Feb 2025 - Prime CS Musalia Mudavadi has asked the African nations to vote for the Kenyan candidate Raila Odinga as AUC Chairperson so as to ensure the fast-tracking of peace and stability of the continent.
- 12 Feb 2025 - Isaac Gachoki, the butcher who made headlines for mutilating another man's genitals over a Ksh.50 debt, will remain in custody for 13 days while awaiting a probation report to determine if he is eligible for release on bond.
- 12 Feb 2025 - Two suspected drug traffickers were arrested on Wednesday following a police-led raid operation in the Kombani area of Kwale County, which resulted in the seizure of 12 sacks of bhang.
- 12 Feb 2025 - Countytrak Education Performance Index
- 12 Feb 2025 - Programmes to tackle HIV, polio, mpox and bird flu have been affected by the freeze
- 12 Feb 2025 - In January 2023, Ruto issued a directive for Galana project to move forward under PPP arrangement