Skip to main content
Skip to main content

Polisi wasaka magenge Nairobi, washukiwa 300 wakamatwa

  • | Citizen TV
    4,186 views
    Duration: 2:40
    Washukiwa zaidi ya 300 wamekatwa jijini nairobi baada ya msako wa polisi kuhusu visa vya uhalifu. Kwa mujibu wa polisi baadhi ya waliokamatwa walipatikana na bidhaa kadhaa ambazo zilikuwa zimeripotiwa kupotea katika matukio ya uhalifu.