Skip to main content
Skip to main content

Rais azindua miradi kadhaa ya maendeleo katika kaunti ya Samburu

  • | KBC Video
    133 views
    Duration: 3:33
    Rais William Ruto ameusuta upinzani akisema hauna ajenda ya kuliendeleza taifa hili. Huku akitetea mkakati wake wa serikali jumuishi, rais Ruto aliyezindua miradi kadhaa ya maendeleo katika kaunti ya Samburu, halikadhalika alisema maeneo yote hapa nchini sharti yafaidike na mgao sawa wa rasilimali za kitaifa licha ya miegemeo tofauti ya kisiasa. Giverson Maina ana taarifa hiyo kwa kina. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive