Skip to main content
Skip to main content

Rais wa Mexico amshtaki aliyemdhalilisha hadharani

  • | BBC Swahili
    1,232 views
    Rais wa Mexico, Claudia Sheinbaum, amewasilisha malalamiko dhidi ya unyanyasaji aliofanyiwa mtaani baada ya video Akiwa katika mkutano na waandishi wa habari, Sheinbaum alieleza kuwa mtu huyo, ambaye alionekana kuwa amelewa, tayari amekamatwa na polisi wa jiji la Mexico. “Kwa kuwa hili limetokea kwa rais, heh, inakuwaje kwa wanawake wengine?” aliuliza. Kisa hiki kimechochea upya mjadala kuhusu unyanyasaji wa kijinsia mitaani nchini Mexico na umuhimu wa aina hii ya tabia kuchukuliwa hatua kama kosa la jinai nchini smoke. Rais alisisitiza kuwa uamuzi wake hauhusiani na nafasi yake, bali ni katika kutetea haki na heshima ya wanawake. - - #bbcswahili #udhalilishaji #mexico #wanawake Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw