Skip to main content
Skip to main content

Ruto : Africa Development Bank watatoa bilioni-9.3 ambazo zitasaidia kukamilisha bwawa la Thwake

  • | KBC Video
    96 views
    Duration: 3:05
    ZIARA YA RAIS RUTO UKAMBANI Ruto : Naelewa watu wa Ukambani wanahitaji maji. Tumekuwa na shida kidogo ya fedha, lakini nimeongea na Africa Development Bank ambao ni wafadhili wa mradi wa bwawa la Thwake, na wamenihakikishia ya kwamba watapitisha pesa bilioni-9.3 ambazo zitasaidia kukamilisha ujenzi wa bwawa hilo. #KBCniYetu