Skip to main content
Skip to main content

Ruto : Nimeongea na wananchi wa Ukambani jinsi ya kuzalisha chakula, mambo ya kilimo, stima

  • | KBC Video
    107 views
    Duration: 2:01
    ZIARA YA RAIS RUTO UKAMBANI Ruto : Nimeongea na wananchi jinsi ya kuzalisha chakula, nimeongea na wananchi mambo ya kilimo, stima. Nimewahamasisha wanachi wa sehemu hii waelewe serikali ya Kenya imefika wapi na mambo yao ya maendeleo.