Skip to main content
Skip to main content

Safari ya kurejesha mwili wa Raila Odinga nyumbani yatajwa kuwa ya kihistoria

  • | Citizen TV
    38,055 views
    Duration: 3:57
    Safari ya kurejesha nyumbani mwili wa waziri mkuu wa zamani marehemu Raila Odinga ilikuwa ya kihistoria. Marubani na wahudumu wa ndege wakisimulia hisia zao kabla ya safari hiyo kuanza na hatimaye kukamilika kwa safari hiyo katika uwanja wa ndege wa jkia.