Skip to main content
Skip to main content

Serikali yaendeleza ujenzi wa nyumba milioni moja kote nchini

  • | Citizen TV
    394 views
    Duration: 2:59
    Serikali imesema kuwa iko mbioni kutimiza ahadi ya nyumba milioni moja kufikia mwaka wa 2027 kupitia mpango wa nyumba za bei nafuu. Mradi huo ulioanza mwaka jana unalenga ujenzi wa nyumba laki mbili kila mwaka. Na kama anavyoarifu Brenda Wanga, taifa linahitaji nyumba laki mbili unusu kwa mwaka