- 137 views
Rais William Ruto ametoa wito wa kuwepo kwa suluhu za kudumu katika kukabiliana na idadi inayoendelea kuongezeka ya watu wanaotafuta hifadhi katika kanda hii hasa nchini Kenya. Akiongea katika ikulu ya Nairobi wakati wa uzinduzi wa mpango wa kushughulikia wakimbizi kwa jina Shirika, Ruto alisema licha ya kwamba Kenya inaendelea kuwakubali wakimbizi, kuna haja ya kuweka mikakati ya kuhakikisha wakimbizi wanajihisi nyumbani pamoja na kuhakikisha wanatangamana na jamii. Rais alitumia fursa hiyo kutoa wito wa kuchukuliwa kwa hatua za dharura kukomesha vita katika kanda hii, ili kupunguza idadi ya wakimbizi wanaotafuta hifadhi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yazindua mpango wa ‘Shirika” utakaotangamanisha wakimbizi na jamii
- 31 Mar 2025 - A family in Koruruma village in Teso North, Busia County, is appealing to the government and well-wishers to help them bring home the remains of their daughter who died three months ago in Saudi Arabia.
- 31 Mar 2025 - Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe says over 180,000 bags of fertiliser are being absorbed daily at National Cereals and Produce Board (NCPB) stores and last-mile outlets countrywide.
- 31 Mar 2025 - Seven family members have died in a road accident in Naivasha, Nakuru County.
- 31 Mar 2025 - U.S. President Donald Trump threatened Iran on Sunday with bombing and secondary tariffs if Tehran did not come to an agreement with Washington over its nuclear program.
- 31 Mar 2025 - Deputy Chief of Staff in the office of the President, Eliud Owalo, now says that the government is on the right track in service delivery.
- 31 Mar 2025 - Interested parties should submit their offers by April 9, 2025.
- 31 Mar 2025 - “If you truly want to unite the country, President Ruto, reach out to Rigathi and listen to what he wants.”
- 31 Mar 2025 - A 17th-century painting looted by the Nazis in 1940 from a Jewish art collector in Belgium will be returned to his descendants after spending three decades in a London gallery, the British government said on Saturday.
- 31 Mar 2025 - Several others were closed and later reopened after meeting the necessary requirements.
- 31 Mar 2025 - The operators argued that limiting the number of hot air balloons in the Mara would help reduce environmental degradation within the reserve, among other concerns.